NYUMBA 5 ZINAUZWA
$Zinauzwa nyumba za kisasa zilizopo Mikocheni – eneo la Kwa Warioba.
Nyumba hizo zipo tano (5) ndani ya kiwanja kimoja (compound moja), zikiwa katika mazingira tulivu na salama. Eneo hili linajulikana kwa hadhi ya juu, miundombinu mizuri na upatikanaji rahisi wa huduma muhimu kama shule, hospitali, maduka na barabara kuu.
Bei ya kuuza ni Dola za Kimarekani Milioni 1.3 (USD 1,300,000) kwa mali yote.
Ni fursa nzuri kwa uwekezaji au matumizi ya makazi.
Kwa maelezo zaidi au kupanga miadi ya kutembelea, wasiliana nasi.